ZIFAHAMU TIMU 24 ZITAKAZOSHIRIKI MICHUANO YA CAF YA SUPER LIGUE, SIMBA IMO


Shirikisho la Soka Afrika (CAF) Sikh ya  Agosti 10,2022 ilizindua rasmi mashindano mapya ya Africa Super League yatakayoshirikisha vilabu 24 kutoka Mataifa 16 tofauti ya kanda tatu za kisoka Afrika huku kila ukanda ukitoa vilabu 8

CAF ilipitisha uamuzi huo kupitia Mkutano wake Mkuu wa kawaida wa 44 unaofanyika jijini Arusha Tanzania

Bingwa wa michuano hiyo atavuna zaidi ya bilioni 233 za Tanzania

Tanzania itawakilishwa na Simba SC iliyothibitishwa kushiriki kwenye michuano hiyo inayotarajiwa kufanyika kila mwaka.

Utaratibu rasmi wa michuano hiyo utatangazwa na CAF hivi karibuni

Vilabu 24 vitakavyoshiriki CAF Super League

1 Al Ahly

2 Zamalek

3 Pyramid

4 Al Masry

5 Wydad AC

6 Raja Athletic

7 RS Berkane

8 Esperance

9 Etoil Sportive Du Suhel

10 Orlando Pirates

11 Kaizer Chiefs

12 Mamelodi Sundowns

13 JS Kabyile

14 CR Belouzidad

15 E.S Setif

16 TP Mazembe

17 Horoya AC

18 SC Enyimba

19 Petro de Luanda

20 Simba SC

21 Asante Kotoko

22 Al Hilal

23 Asec Mimosas

24 Coton Sport

Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp +255 753 336 000 au +255 625 917 902

Masengwa blog Ipo Play Store…Download HAPA ,Uwe unapata habari zote kwa urahisi zaidi
 Bofya Hapa

No comments:

Powered by Blogger.