HENRY ADAMS AMVUTA JAYWILLZ NDANI YA WIMBO WAKE


Henry Adams
Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka nchini Nigeria, Henry Adams ambaye anakuja kwa kasi kubwa kimuziki kutokea nchini nigeria akiwa anawakilisha vyema muziki aina ya Afrobeat huku akiwa pia ni moja ya msanii ambaye ana amini katika talanta yake akiwa anawakilisha Nigeria.


Henry Adams ni msanii kutoka katika lebo ya muziki ambayo inaitwa OBAFUNSHY RECORDS na sasa ameamua kuja na ngoma yake moya aliwa ameshirikiana na Mkali JAYWILLZ ngoma iitwayo Rest Assured ambayo pia video yake inanya vizuri kupitia Youtube yake.


Unaweza kutazama na kufurahia kazi nzuri toka kwa Henry Adams Pia unaweza kuwa nae karibu zaidi kwa kufuatilia mitandao yake ya kijamii kama instagram @henryadams_official

Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp +255 753 336 000 au +255 625 917 902

Masengwa blog Ipo Play Store…Download HAPA ,Uwe unapata habari zote kwa urahisi zaidi
 Bofya Hapa

No comments:

Powered by Blogger.