WILLIAM LUKUVI AKABIDHIWA KAZI YA KUWACHAPUA MAWAZIRI VIJANA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema kwamba tayari ameshamkabidhi fimbo Waziri wa zamani wa Ardhi William Lukuvi, kwa ajili ya kuwachapua mawaziri vijana na ndiyo maana wanachapa kazi ipasavyo.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Agosti 11, 2022, wakati akiingia mkoani Iringa ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake katika maeneo mbalimbali ya nchi.

Chanzo - EATV

Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp +255 753 336 000 au +255 625 917 902

Masengwa blog Ipo Play Store…Download HAPA ,Uwe unapata habari zote kwa urahisi zaidi
 Bofya Hapa

No comments:

Powered by Blogger.