TFF YAZUIA USAJILI WA TUISILA KISINDA YANGA
Maana yake winga Mkongo, Tuisila Kisinda aliyerejeshwa Yanga kutoka RSB Berkane ya Morocco na kiungo Mrundi, Saido Ntibanzokiza aliyesajiliwa Geita Gold hawatacheza Ligi hadi Januari katika usajili wa dirisha dogo.
Masengwa blog Ipo Play Store…Download HAPA ,Uwe unapata habari zote kwa urahisi zaidi
No comments: