Raisi Magufuli amteua Anne Kilango Malecela kuwa mbunge

Rais John Pombe Magufuli amemteua Anne Kilango Malecela kuwa mbunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Mwaka 2016 Anne Kilango aliteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga kisha kutumbuliwa kutokana na kusema kuwa mkoa wa Shinyanga  hauna watumishi hewa.

Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp +255 753 336 000 au +255 625 917 902

Masengwa blog Ipo Play Store…Download HAPA ,Uwe unapata habari zote kwa urahisi zaidi
 Bofya Hapa
Powered by Blogger.