AMUUA BABA YAKE KWA MADAI YA KUSHINDWA KUMTAFUTIA MCHUMBA


Jeshi la Polisi mkoani Mtwara linamshikilia Kristatus Victory (23) mkazi wa Lukuledi wilayani Masasi kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi, Victory Milanzi (74) kwa madai ya kushindwa kumtafutia mchumba wa kuoa.

Akizungumza Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani humo, ACP Issack Mushi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema mtuhumiwa anadaiwa kumchoma kisu mdomoni na tumboni baba yake, kisha kumjeruhi mama yake mzazi, Carolina Ludugeli (68).

Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp +255 753 336 000 au +255 625 917 902

Masengwa blog Ipo Play Store…Download HAPA ,Uwe unapata habari zote kwa urahisi zaidi
 Bofya Hapa

No comments:

Powered by Blogger.