Makanisa hayo yatabomolewa kwa madai kuwa yamejengwa maeneo ya makaazi.
Mtandao huo ulimnukuu kasisi Yahya Abdurrahman wa kanisa la Evangelican la Sudan, akiilamua serikali kwa kupanga kuharibu maeneo wanakofanyia ibada wakiristo.
"Hatua hii inalenga makanisa yaliyo mjini Khartoum kwa sababu kuna madai kuwa yako maeneo ya umma lakini nafikiri kuwa huo ndio mpango," alinukuliwa akisema.

