Morgan Tsvangirai
Kiongozi wa upinzani nchini Zimbabwe Morgan Tsvangirai amekosoa kukamatwa kwa mhubiri Evan Mawarire ambabe alizuiwa baada ya kurejea nchini humo siku ya Jumatano.
Video hiyo ilisababisha kutokea kwa kampeni ya kupinga uongozi wa nchi hiyo.
Evan Mawarire
Bwana Tsvangirai anasema kuwa mhubiri huyo hajatenda uhalifu wowote. Anasema kuwa watu wa zimbabwe hawawezi kuhangaishwa na chama cha Zanu PF.

