Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas Lyimo (wa pili kushoto), akizindua Jengo la Kliniki ya Huduma za Tiba kwa Waraibu wa Dawa za Kulevya MAT) lililojengwa na Shirika la Tanzania Health Promotion Support (THPS) kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga. Wa kwanza kushoto ni Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Dkt. Yudas Ndungile, wa kwanza kulia ni Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga, David Lyamongi, akifuatiwa na Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Magharibi, Jumanne Wagana, pamoja na Mkurugenzi wa Tanzania Health Promotion Support, Redempta Mbatia.

Mkurugenzi wa THPS, Dkt. Redempta Mbatia (wa pili kulia) akizungumza wakati Uzinduzi wa Jengo la Kliniki ya Huduma za Tiba kwa Waraibu wa Dawa za Kulevya (MAT) lililojengwa na THPS kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga, Machi 22, 2026. Wa kwanza kushoto ni Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Dkt. Yudas Ndungile, akifuatiwa na Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas Lyimo, wa kwanza kulia ni Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Magharibi, Jumanne Wagana.
Mkurugenzi wa THPS, Dkt. Redempta Mbatia (wa pili kulia) akizungumza wakati Uzinduzi wa Jengo la Kliniki ya Huduma za Tiba kwa Waraibu wa Dawa za Kulevya (MAT) lililojengwa na THPS kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga, Machi 22, 2026.
Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas Lyimo (katikati), akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Kliniki ya MAT iliyojengwa na Shirika la Tanzania Health Promotion Support (THPS) kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga. Wa kwanza kushoto ni Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Dkt. Yudas Ndungile akifuatiwa na Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga, David Lyamongi. Wa kwanza kulia ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Luzila John akifuatiwa na Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Magharibi, Jumanne Wagana, pamoja na Mkurugenzi wa THPS, Dkt. Redempta Mbatia.
Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas Lyimo akipata maelezo kuhusu huduma zinazotolewa katika Kliniki ya MAT kutoka kwa mtaalamu wa afya.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo (katikati), akipata maelezo kuhusu Huduma zinazotolewa katika Jengo la Kliniki ya Huduma za Tiba kwa Waraibu wa Dawa za Kulevya (MAT) lililojengwa na THPS kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo akizungumza wakati akitembelea Jengo la Kliniki ya Huduma za Tiba kwa Waraibu wa Dawa za Kulevya (MAT) lililojengwa na THPS kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga.
Mkurugenzi wa THPS, Dkt. Redempta Mbatia akielezea kuhusu Huduma zinazotolewa katika Jengo la Kliniki ya Huduma za Tiba kwa Waraibu wa Dawa za Kulevya (MAT) lililojengwa na THPS kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo akiwa kwenye Jengo la Kliniki ya Huduma za Tiba kwa Waraibu wa Dawa za Kulevya (MAT) lililojengwa na THPS kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga.
Muonekano wa Jengo la Kliniki ya MAT lililojengwa na Tanzania Health Promotion Support (THPS) kwa ufadhili wa Benki ya CRDB katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo akizungumza wakati akizindua Jengo la Kliniki ya Huduma za Tiba kwa Waraibu wa Dawa za Kulevya (Medication-Assisted Treatment - MAT) lililojengwa na Shirika la Tanzania Health Promotion Support (THPS) kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga, Machi 22, 2026.
Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas Lyimo akizungumza wakati akizindua Jengo la Kliniki ya Huduma za Tiba kwa Waraibu wa Dawa za Kulevya (MAT) lililojengwa na THPS kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga.
Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas Lyimo akizungumza wakati akizindua Jengo la Kliniki ya Huduma za Tiba kwa Waraibu wa Dawa za Kulevya (MAT) lililojengwa na THPS kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga.
Mkurugenzi wa THPS, Dkt. Redempta Mbatia akizungumza wakati wa uzinduzi wa Jengo la Kliniki ya Huduma za Tiba kwa Waraibu wa Dawa za Kulevya (MAT) lililojengwa na THPS kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga.
Mkurugenzi wa THPS, Dkt. Redempta Mbatia akizungumza wakati wa uzinduzi wa Jengo la Kliniki ya Huduma za Tiba kwa Waraibu wa Dawa za Kulevya (MAT) lililojengwa na THPS kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga.
Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Magharibi, Jumanne Wagana akizungumza wakati wa uzinduzi wa Jengo la Kliniki ya Huduma za Tiba kwa Waraibu wa Dawa za Kulevya (MAT) lililojengwa na THPS kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga.
Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Magharibi, Jumanne Wagana akizungumza wakati wa uzinduzi wa Jengo la Kliniki ya Huduma za Tiba kwa Waraibu wa Dawa za Kulevya (MAT) lililojengwa na THPS kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga.
Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Shinyanga, Luther Mneney akizungumza wakati wa uzinduzi wa Jengo la Kliniki ya Huduma za Tiba kwa Waraibu wa Dawa za Kulevya (MAT) lililojengwa na THPS kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga.
Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga, David Lyamongi akizungumza wakati wa uzinduzi wa Jengo la Kliniki ya Huduma za Tiba kwa Waraibu wa Dawa za Kulevya (MAT) lililojengwa na THPS kwa ufadhili wa Benki ya CRDB, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga.
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Dkt. Yudas Ndungile akizungumza kuhusu umuhimu wa huduma za MAT katika kupambana na uraibu wa dawa za kulevya.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga, Dkt. Luzila John akielezea namna huduma zitakavyotolewa.
Kamishna wa Kinga na Tiba wa DCEA, Dkt. Peter Patrick Mfisi akizungumza wakati wa uzinduzi huo.
Mnufaika wa huduma za MAT, Ibrahim Seif akieleza jinsi alivyofanikiwa kuachana na matumizi ya dawa za kulevya baada ya miaka 10.
Muonekano wa Jengo la Kliniki ya MAT lililojengwa na Tanzania Health Promotion Support (THPS) kwa ufadhili wa Benki ya CRDB katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga.
Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas Lyimo akisalimiana na Mkurugenzi wa THPS, Dkt. Redempta Mbatia.
Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas Lyimo akisalimiana na Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Shinyanga, Luther Mneney

Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas Lyimo akisalimiana na Kamishna wa Kinga na Tiba wa DCEA, Dkt. Peter Patrick Mfisi
Picha ya pamoja Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo , viongozi mbalimbali pamoja na maafisa wa Benki ya CRDB.
Picha ya pamoja ya Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas Lyimo, viongozi mbalimbali na wanufaika wa huduma za MAT.
Picha ya pamoja Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo , viongozi mbalimbali pamoja na maafisa wa Benki ya CRDB na THPS.
Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
0 Comments