MECHI YA SIMBA NA YANGA YABADILISHIWA MUDA WA KUCHEZA

Mchezo wa ngao ya Jamii kati ya Yanga dhidi ya Simba ambao utapigwa Jumamosi Agosti 13 katika uwanja wa Benjamini Mkapa, muda wa mchezo huo umebadilishwa.

Mtanange huo sasa utapigwa kuanzia saa moja usiku badala ya saa kumi na moja jioni

Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp +255 753 336 000 au +255 625 917 902

Masengwa blog Ipo Play Store…Download HAPA ,Uwe unapata habari zote kwa urahisi zaidi
 Bofya Hapa

No comments:

Powered by Blogger.