
Mama Samia Suluhu akiongea wakati wa hafla fupi ya kukaribishwa Dodoma iliyofanyika katika makazi yake, amewashukuru wananchi wa Dodoma kwa kumpokea na kuahidi kuendelea kushirikiana nao katika kuleta maendeleo ya nchi.
Makamu wa Rais ameeleza kuwa ili kuhakikisha kuwa wanadumisha mazingira na kuifanya Dodoma kuwa ya Kijani siku ya Alhamisi, Disemba 21, mwaka huu itakuwa ni siku ya kushiriki upandaji wa miti na yeye atapanda mti wa mjini hapo.








SWAHILI TIMES
0 Comments