BABA ATUPWA JELA MIAKA 30 KWA KUMBAKA MTOTO WAKE


Mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya Nzega mkoani Tabora imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Masanja shija (58) baada ya kupatikana hatia ya kufanya mapenzi na mtoto wake wa kike aliyekuwa chini ya umri wa miaka 18

Hakimu mkazi mwandamizi wa mahakama ya wilaya ya Nzega, Godfey Rwekite alisema kutokana na ushahidi kukamilika mahakamani hapo imeridhia kumuhukumu Masanja Shija kutumikia kifungo hicho cha miaka 30 jela.

Chanzo - EATV

Post a Comment

Previous Post Next Post