ALICHOKIANDIKA HAJI MANA JANA MARA BAADA YA MECHI KATI YA SIMBA NA MBAO FC

Image result for haji manara
Moja kati ya vitu vya Kufurahisha katika Soka ni utani wa Hapa na Pale hasa kwa vilabu vikongwe Simba na Yanga, Jana mara baada ya Simba kubanwa na Mbao Fc Haji Manara kama kawaida yake hakukaa Kimya na Kupitia Ukurasa wake wa Instagram alipost Picha ya Matokeo na kuandika

Mapambano bado yanaendelea, This Is Simba 
Chanzo- kwataunit.com
Previous Post Next Post