Picha: HIVI NDIVYO LIVERPOOL WALIVYOFANYA MAZOEZI YA MWISHO HAPO JANA KABLA YA MECHI YA FAINALI YA LEO DHIDI YA REAL MADRID


Jurgen Klopp akikumbatiana na Jordan Henderson baada ya mazoezi 
Mohamed Salah akiwa mwenye furaha kabisa wakati wa mazoezi ya mwishoni 
Mazoezi yakiendelea 
Mazoezi yakiendelea 

Golikipa Loris Karius akiwa kwenye mazoezi makali 
Wachezaji wa Liverpool wakiendelea na mazoezi 

Bosi wa Liverpool akifurahia jambo 
Mazoezini 

Post a Comment

0 Comments