ALIYEKUWA MKURUGENZI WA NHC PETER MCHECHU AKANUSHA TAARIFA ZA KUKAMATWA NA TAKUKURU

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa(NHC), Nehemiah Mchechu amekanusha taarifa zilizosambaa mapema leo kuwa amekamatwa na TAKUKURU na kuhojiwa. Asema yupo kwenye msiba wa mama yake huko Ukonga.
-
Awali, zilisambaa taarifa zinazoeleza kuwa Mkurugenzi huyo aliyesimamishwa kazi jana kupisha uchunguzi, amekamatwa na TAKUKURU kwa mahojiano na angefikishwa mahakamani siku ya Jumanne kujibu mashtaka, taarifa ambazo si za kweli.

Post a Comment

0 Comments