
Timu ya Lipuli imeshusha Vifaa vinne Leo kwaajili ya Usajili, Hii inakuja Siku moja mara baada ya Kupokea Kichapo kikali kutoka kwa Azam 4 kwa 0 Maarufu 4G.
Wachezaji ambao wamethibitishwa kupitia Mtandao wao wa Twitter Ni
1.Asante Kwasi
2.Ngalema Paul
3.Musa Mohamed
4.Hamadi Manzi