NGUZO KUMI ZA MWANAUME BORA ALIYEOA

Habari za majukumu mbalimbali ya kiuchumi ndugu wasomaji wa blogu hii, bila shaka nyote ni wazima kwa uweza wa mwenyezi Mungu muumba mbingu na nchi. Kwa wale ambao afya zao zimetetereka kidogo Mungu yu pamoja nanyi mtapona.
Leo napenda kutaja mambo kumi muhimu katika kudumisha mahusiano ya aina yote lakini hasa ndoa na uchumba: -
1. Mungu.
2. Upendo.
3. Roho
4. Kujitolea
5. Agano.
6. Kukubaliana.
7. Mawasiliano.
8. Kusameheana.
9. Kujitawala.
10. Kuwa msaada kwa mwenza wako.