TAARIFA KAMILI YA WEMA SEPETU KUHAMIA CHADEMA

Baada ya picha hizi kuzagaa mtandaoni inaelezwa kuwa Wema Sepetu amehamia Chadema kutoka CCM.
Huu hapa chini ujumbe uliochapishwa na msemaji wa Chadema,Tumaini Makene Facebook

Hongera #Wema_Sepetu, Karibu sana CHADEMA.
Chama kupitia Mwenyekiti wa Chama Taifa, Freeman Mbowe, baada ya kesi ya kikatiba namba 1 ya mwaka 2017 inayotarajiwa kuwasilishwa Mahakama Kuu leo.
Kitazungumza kwa umma kupitia waandishi wa habari kuwakaribisha wanachama wapya waliojiunga leo akiwemo #Wema_Sepetu.
Taarifa rasmi tutawaletea