Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MOCU) anayo furaha kuwatangazia wahitimu wote wa kidato cha nne nafasi za masomo kwa Muhula mpya wa masomo Mwezi wa Mei 2017/2018 kwenye kituo cha kufundishia Kizumbi - Shinyanga
Kozi zitolewazo ni :-
Certificate in Enterprise Development (CED)
Certificate in Management and Accounting (CMA)
Certificate in Microfinance Management (CMF)
Certificate in Human Resource Management (CHRM)
SIFA ZA MUOMBAJI NGAZI YA CERTIFICATE (ASTASHAHADA)
Muombaji awe amehitimu kidato cha Nne na kufaulu angalau masomo manne kwa kiwango cha “D” na kuendelea.
Kwa mawasiliano zaidi piga namba zifuatazo;
Mobile; 0756546963, 0712 775691, 0787087413, 0628264072
au
tembelea tovuti ya chuo
http://www.mocu.ac.tz/
au
tembelea tovuti ya chuo
http://www.mocu.ac.tz/