MAHAKAMA YATOA MAELEKEZO KESI INAYOMKABILI GODBLESS LEMA



Mahakama ya Rufani ya Tanzania Chini ya Majaji (Luanda, Kipenka, Mugasha, JJA) iliyokaa Arusha leo 27th February 2017 imetoa maelekezo ya kesi inayomkabili mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema irudi kwenye mahakama zenye dhamana ya kutoa dhamana.

Hakimu amesema hakuna hoja ya msingi kwa rufaa iliyokatwa na mawakili serikali.

Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp +255 753 336 000 au +255 625 917 902

Masengwa blog Ipo Play Store…Download HAPA ,Uwe unapata habari zote kwa urahisi zaidi
 Bofya Hapa
Powered by Blogger.