
Mashabiki hao wameamua kufanya hivo wakijua kuwa ushabiki sio uadui na kwenda mbali zaidi kwa kuamua kuanzisha kikundi hicho kilichoanza na watu 70 na mpaka sasa kikundi hicho kina wanachama zaidi ya 300.
Mmoja wa wanachama hao alisema kuwa moja huo utakuwa muhimu sana kwani wamekuwa na utaratibu wa kusaidiana katika shida na raha bila kujali huyu anatoka timu ipi.
Lakini pia imewajengea umoja hata pale timu moja inaposhinda wanapongezana
Tags:
michezo