HILI HAPA NDIO BENCHI LA UFUNDI LA YANGA KUIMALIZA SIMBA LEO

Kuelekea mechi ya Simba dhidi ya yanga leo, yanga wametambulisha benchi lao la ufundi litakalotumika kuimaliza simba

 BENCHI LA UFUNDI LA YANGA

Kwa upande wa Yanga benchi lao litaongozwa na Kocha Mkuu: Nassredine Nabi (Tunisia), kocha wa makipa ni Razack Siwa (Kenya) na kocha wa utimamu wa mwili Helmi Gueldich (Tunisia) na daktari ni Shecky Mngazija (Tanzania).

Pia Yanga wamemtambulisha Cedric Kaze kuwa Kocha Msaidizi ilikuwa ni jana, kuanza kwake kazi leo kunatarajia upatikanaji wa kibali cha kazi hivyo lolote linaweza kutokea.

Post a Comment

Previous Post Next Post