MATOKEO YA AZAM FC vs TRANSIT CAMP

Klabu ya Azam Fc leo ikicheza katika uwanja wake wa Azam Complex Imefanikiwa Kuinyuka klabu ya Transit Camp bao 8 kwa 1 Katika mchezo wa Kirafiki

Magoli ya Azam Fc yamefungwa na Yahya Mohammed dakika ya 22, Kangwa 45 Enock Atta dakika ya 50, Salmin Hozza dakika ya 59. naye Mbaraka Yusuph akaweka bao la 5 dakika ya 67

Mahundi katika dakika ya 72 akafunga bao la 6, Atta akarudi kambani kwa goli la 7 na 8 Azam inajiweka sawa kwaajili ya Ligi Kuu VPL wakati timu ya Transit Camp inajiandaa dhidi ya Ligi
Previous Post Next Post