BAADA YA OKWI KUWAFUNGA MISRI, MANARA KAYAANDIKA HAYA

Mara baada ya Emmanuel Okwi kufunga pekee lililowapa ushindi Uganda dhidi ya Misri, msemaji wa kalabu yake Haji manara kafunguka ya kwake kupitia mtandao wa INSTAGRAM..

Haji Manara ameyaandika haya;

Mliyemwita mhenga Emmanuel Okwi, kawalaza na viatu mafarao....Sahau kuhusu nne alizompiga mbeba simu,! Simba 1-Egypt 0 ..ahh tholi Uganda 1- Egypt 0
Previous Post Next Post