
Chelsea imekubali kutoa pauni milioni 35 kumnasa na mambo yakienda vizuri, huenda leo akafanya vipimo.
Katika mechi iliyopita, Arsenal ilitwangwa mabao 4-0 na Liverpool huku Oxlade-Chamberlain akicheza kama beki wa kulia, jambo lililozua mjadala mkubwa kuhusiana na uamuzi huo wa Kocha Arsene Wenger kumpanga katika nafasi hiyo.
Siku chache zilizopita, Oxlade-Chamberlain alikataa kuongeza mkataba na Arsenal na mshahara wake ungekuwa pauni 180,000 kwa wiki!
Tags:
michezo