SAMAKI MKUBWA AKUTWA AKIWA AMEKUFA KILWA


Picha: Samaki mkubwa aliyekutwa ufukweni amekufa 

 0
Samaki mkubwa amekutwa amekufa  katika ufukwe wa Bahari ya Hindi eneo la Bandari ya Kilwa, Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi.
img_20161014_165533
Wakazi wa eneo hilo wamesema kuwa samaki huyo alianza kuonekana kuanzia juzi akielea baharini lakini hawakujua kama alikuwa amekufa hadi Jana aliposukumwa hadi kwenye ufukwe wa bahari.
Wakazi hao wanaeleza kuwa samaki huyo ana urefu wa futi 30.
img_20161014_165539img_20161014_165548img_20161014_165543