SEMINA KUBWA YA NENO LA MUNGU



Uongozi  wa KANISA LA KIINJILI LA KILUTHERI TANZANIA (KKKT) Usharika wa Ebeneezer Kanisa Kuu Shinyanga unapenda kuwatangazia watu wote kuwa kuanzia tarehe 06 hadi tarehe 13/11/2016 kutakuwa na semina ya neno la Mungu itakayokuwa ikifundishwa na Mwalimu JOEL Y. MKEMWA
kutoka Arusha.
Semina hii itakuwa ikianza kila siku kuanzia saa 9:30 alasiri hadi saa 12:30 jioni.

KICHWA CHA SOMO:
MBINU/KANUNI ZA KUVUNJA MASHARTI TULIYOWEKEWA NA UTAWALA WA KISHETANI
(Mark 5:25-30)

MAHALI: Kanisa la KKKT Usharika wa Ebeneezer Kanisa kuu Shinyanga
 MUDA:      Saa 9:30 alasiri hadi saa 12:30 jioni
TAREHE:  06/11 hadi 13/11/2016


Waleteni wagonjwa, waliofungwa  na wenye shida mbalimbali na Mungu atawafungua.

NYOTE MNAKARIBISHWA